>Saklama ndugu zangu wafugaji,Leo napenda niwakukumbushe muoshe vyombo vya maji kila unapoweka maji yakunywa ya kuku,kama kuku wako wako unaweza wapa maji mara 7 kwa siku basi osha vyombo mara 7 kwa sabuni yenye antbacteria,vyombo vya chakula osha kwa wiki mara tatu tenga ratiba ya siku yakuosha vyombo hivyo.
>jitahidi banda kuwa safi mda wote ili kutokua na bacteria ndani,fanya usafi wa mala kwa mala...
MTUNZE KUKU SASA AKUTUNZE BAADAE...
No comments:
Post a Comment