Wednesday, January 4, 2017

SIFA ZA JOGOO NA MITETEA YA KIENYEJI



Sifa za kuzingatia wakati wa kuchagua mitetea:
Wawe na:
1:Umbile kubwa.
2:Uwezo wa kutaga wakiwa na umri mdogo (miezi 6).
3:Uwezo wa kustahimili magonjwa.
4:Uwezo wa kukua haraka.
5;Uwezo wa kutaga mayai mengi {zaidi ya 15 kwa mtago mmoja (
clutch)
 6:Uwezo wa kuatamia na kuangua vifaranga wengi na kuwalea.
Sifa za
kuzingatia wakati wa kuchagua majogoo
Jogoo bora, awe na:
1:Umbo kubwa.
2:Miguu imara na yenye nguvu.
3:Kucha fupi.
4:Mwenye nguvu.
5:Machachari.
6:Upanga/kilemba kikubwa.
7:Uwezo wa kuitia chakula mitetea.
Tabia ya kupenda vifaranga

No comments:

Post a Comment