Sifa za kuzingatia wakati wa kuchagua mitetea:
Wawe na:
1:Umbile kubwa.
2:Uwezo wa kutaga wakiwa na umri mdogo (miezi 6).
3:Uwezo wa kustahimili magonjwa.
4:Uwezo wa kukua haraka.
5;Uwezo wa kutaga mayai mengi {zaidi ya 15 kwa mtago mmoja (
clutch)
6:Uwezo wa kuatamia na kuangua vifaranga wengi na kuwalea.
Sifa za
kuzingatia wakati wa kuchagua majogoo
Jogoo bora, awe na:
1:Umbo kubwa.
2:Miguu imara na yenye nguvu.
3:Kucha fupi.
4:Mwenye nguvu.
5:Machachari.
6:Upanga/kilemba kikubwa.
7:Uwezo wa kuitia chakula mitetea.
Tabia ya kupenda vifaranga
No comments:
Post a Comment