ARUSHA KUKU FARM
Ufugaji ni maisha
Wednesday, January 4, 2017
UMHIMU WA VIOTA KATIKA BANDA
1. Humshawishi kuku kutaga
2. Hupunguza kupotea kwa mayai ovyo.
3. Hupunguza idadi ya mayai kuvunjika
4. Huzuia ulaji wa mayai.
5. Hurahisisha uokotaji wa mayai.
6. Mayai huwa safi na salama
7. Huongeza makusanyo/idadi ya maya
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment