Saturday, February 25, 2017

SIFA ZA MAYAI KUATAMIWA.

  1. yawe masafi(yafutwe na kitambaa laini na maji ya vuguvugu)
  2. yasiwe na nyufa ya nje au ya ndani
  3. yasiwe na mviringo kama mpira au ncha kali
  4. yasiwe na siku nyingi zaidi ya siku9
  5. yasiwe yaliyohifadhiwa sehemu yenye joto
  6. yahifadhiwe sehemu yenye hewa ya kutosha 
  • NB:mayai yahifadhiwe ncha au sehemu iliyochongoka iwe chini na pana iwe juu
  • yai lenye mbegu ndani huweza kutambulika au kuonekana kuanzia siku ya 8 hadi 10,viashiria vyake huwa ni yai kuonesha mishipa au mizizi ndani pamoja na kiini cheusi.

No comments:

Post a Comment