SIFA ZA MAYAI KUATAMIWA.
- yawe masafi(yafutwe na kitambaa laini na maji ya vuguvugu)
- yasiwe na nyufa ya nje au ya ndani
- yasiwe na mviringo kama mpira au ncha kali
- yasiwe na siku nyingi zaidi ya siku9
- yasiwe yaliyohifadhiwa sehemu yenye joto
- yahifadhiwe sehemu yenye hewa ya kutosha
- NB:mayai yahifadhiwe ncha au sehemu iliyochongoka iwe chini na pana iwe juu
- yai lenye mbegu ndani huweza kutambulika au kuonekana kuanzia siku ya 8 hadi 10,viashiria vyake huwa ni yai kuonesha mishipa au mizizi ndani pamoja na kiini cheusi.
No comments:
Post a Comment